Quantcast
Channel: Strictly Gospel » SINGERS
Viewing all articles
Browse latest Browse all 31

Karibu Roho – Neema Cizungu

$
0
0

Neema ni muimbaji wa nyimbo za Injili mwenye asili ya Congo, anafanya muziki wake nchini Kenya. Amejulikana Tanzania na album yake ya Karibu Roho iliyofanya vyema Afrika Mashariki, unaweza kusikiliza nyimbo zake kama HAKUNA MUNGU KAMA WEWE, KARIBU ROHO, SADAKA ZA SIFA, TUMRUDIE MUNGU, CONNECTION, MSAADA, NI NANI KAMA WEWE na MABOTA.

Akiongea na Strictly Gospel, Neema alisema alianza kuimba kwaya akiwa na miaka sita (6) “Nilipofikisha miaka 12 nikabatizwa kwa maji mengi na kujiunga kwenye kwaya ya watu wazima, nilikuja nchini Kenya nikiwa na miaka 22 na kurekodi album yangu ya kwanza mwaka 2009. Mungu alinisaidia kunipa ujumbe na ilinichukua mwaka mmoja kumaliza kurekodi”

Kwasasa dada Neema anaandaa album yake ya pili tayari amerekodi wimbo mmoja unaitwa JINA LAKO.


Filed under: SINGERS

Viewing all articles
Browse latest Browse all 31

Trending Articles