Amekutana na Bwana Yesu tangu akiwa na umri wa miaka 12 alipokuwa akiteswa na vifungo vya shetani katika utoto wake lakini mkono wa Bwana Yesu ukamuokoa na kumuita amtumikie kwenye kazi yake.
Japokuwa familia yake iliweka vizuizi mbali mbali, kukataliwa na kutengwa lakini Bwana Yesu alimtetea na kumpigania na hata sasa anasema Yeye ni ushuhuda halisi, Amepokea uponyaji na uzima kwa jina la Yesu.
Fay Destiny amezindua album ya nyimbo za kumwabudu Mungu na kulitukuza jina lake, album yenye shuhuda halisi na nguvu za Mungu katika nyimbo hizo.
Jipatie nakala yako na ubarikiwe zaidi,
Wasiliana naye moja kwa moja kwa number 614-772-6058
Au wasiliana na Strictly Gospel 484-751-7038 upate nakala yako
Kusikiliza Ushuhuda wake kwa kirefu sikiliza Interview aliyofanya na dada Pricilla Mushi kutoka Gospel Around the World
Filed under: SHUHUDA, SINGERS
