Steven Mwikwabe atoa ushauri kwa waimbaji wa nyimbo za Injili na wachungaji
Mwimbaji wa nyimbo za injili nchini Tanzania, anayesikika kwa album mpya ya RAFIKI WA KWELI. Ametoa ushauri kwa waimbaji wa nyimbo za injili na wachungaji kama ifuatavyo “kabla ya yote napenda kuweka...
View ArticleDon Moen’s Peace Prayer for Kenya!
Dear Friends, Millions of believers have already been praying for a peaceful election process in Kenya. Please join with me wherever you are and reach our your hands toward Kenya as we pray. Heavenly...
View ArticleAlbum Nimeuona Mkono wenye Baraka iko Tayari
Muimbaji anayesikika kwa wimbo Nimeuona mkono wa Bwana tayari ana album yenye nyimbo nane iliyobeba jina “NIMEUONA” Sikiliza na tazama wimbo uliobeba album NIMEUONA Kupata mialiko na Album yake...
View ArticleChristina Shusho ashinda tuzo London!
Ambwene Mwamwaja akiwa na tuzo ya Christina Shusho mkononi, pembeni ni kijana Karabo Mongatane wa Afrika ya kusini ambaye amenyakua tuzo ya album ya mwaka kwa wapigaji wa Afro Jazz. Mwimbaji nyota wa...
View ArticleWaimbaji Christina Shusho, Upendo Nkone na Upendo Kirahiro wako Marekani...
Katika kipindi chetu wiki hiitumekuwa na habari za Mwimbaji Christina Shusho ambaye hatimaye harakati za wadau mbalimbali za kumpigia kampeni apate tuzo za Muziki za Kikristo zimezaa matunda baada ya...
View ArticleEmmy Kosgei Kuolewa Nigeria!!
Mwimbaji maarufu nchini Kenya na Afrika Emmy Kosegei (33) anatarajia kufunga ndoa na mchungaji Anselm Madubuko wa kanisa la Revival Assembly Cathedral lililoko Nigeria. Akiongea na gazeti la Daily...
View ArticleSiku ya Emmy Kosgei
Kiongozi wa kanisa la Revival Assembly Mtume Anselm Madubuko wa Nigeria amefunga ndoa na mwimbaji wa Injili nchini Kenya Emmy Kosgei tarehe 31 Agosti 2013 nchini Kenya na tarehe 14 Septemba 2013...
View ArticleKutoka kwenye Uislamu mpaka Mwimbaji wa Injili kimataifa- Fay Destiny
Amekutana na Bwana Yesu tangu akiwa na umri wa miaka 12 alipokuwa akiteswa na vifungo vya shetani katika utoto wake lakini mkono wa Bwana Yesu ukamuokoa na kumuita amtumikie kwenye kazi yake. Japokuwa...
View ArticleHongereni John Lisu kwa baraka ya watoto watatu!
Muimbaji wa nyimbo za Injili Tanzania John Lisu na mkewe Nelly Kaisi, wamepata mapacha watatu siku ya tarehe 7 January 2014. Akiongea na blogs mbali mbali anasema “Mungu amenibariki kwa watoto watatu...
View ArticleUzinduzi wa KAMATA PINDO LA YESU kufanyika Dar es salaam!!
Sikiliza wimbo wa Kamata Pindo…. Uzinduzi wa album mpya ya Mwimbaji wa Nyimbo za Injili Rose Muhando inayoitwa “KAMATA PINDO LA YESU”unatarajiwa kufanyika August 03 2014 katika ukumbi wa DIAMOND...
View ArticleKiu yangu ni kuongezeka zaidi katika kumjua Mungu – Angel Bernard
Huu wimbo niliupata palepale studio. I heard the beat and hapohapo maneno yakaflow… Yes, ilikuwa ni desire yangu sana kujazwa zaidi Na zaidi, nilikuwa na kiu sana ya kukutana na Mungu katika hicho...
View Article