Muimbaji wa nyimbo za Injili Tanzania John Lisu na mkewe Nelly Kaisi, wamepata mapacha watatu siku ya tarehe 7 January 2014. Akiongea na blogs mbali mbali anasema “Mungu amenibariki kwa watoto watatu mapacha wawili wa kiume na mmoja wa kike”
Mama na watoto wanaendelea vema.
Hongereni sana familia ya John Lisu, Utukufu ni kwa Bwana.
Filed under: HABARI, SINGERS
